“Kuna
saa najiuliza kwanin ukimwamin mtu ndio anageuka...kwanin ukiwa muwaz
watu wanakuchukulia vbaya? Leo nimeumia sanaaa kuliko
skuzote...sijaamini mtu niliye mwamini kumuona kama rafiki yangu anaweza
kuongea shit kuhusu mim...au najiuliza siruhusiwi kuwa na rafik wa
kiume? Lakin sa nyingine nakaa chin nasema God ...u know me better”
MCHUNGUZI wa mambo anasema maneno hayo ni kutokana na kile alichokiona kama ni usaliti wa namna fulani toka kwa rafiki yake wa karibu (Jina kapuni) kuamua kumuanika hadharani mdada huyo wa bongo movies.