Wednesday, February 12, 2014

NMB YAZIDI KUBORESHA HUDUMA ZAKE NA HII NDO KUBWA ZAID


DSC_3690Unaambiwa Benki ya NMB na kampuni ya simu ya Tigo kupitia Tigo Pesa imezindua huduma ya kuweka pesa na kutoa kupitia simu yako ya Mkononi.
Huduma hii rahisi kutumia itakuwezesha kuweka pesa na kutoa pesa kwenye akaunti yako ya NMB kupitia simu yako ya mkononi kupitia Tigo pesa ambapo huduma hii imezinduliwa rasmi February 12 na Meneja Biashara wa Tigo Pesa Mr. Ruan Swanepoelsign na kutoka NMB makubaliano haya yalifanywa na  CEO and Chief Risk Officer Tom Borghols.
1Ichukue hii mtu wangu wa nguvu maana NMB imeamua kukufikia kirahisi zaidi hivyo huna sababu ya kupanga foleni ambazo unadhani zingekwamisha baadhi ya mipango yako kwenda kwa wakati maalum.
DSC_3712