Saturday, June 22, 2013

ZITO KABWE AFUNGUKA VIBAYA AT MITANDAO YA JAMII KUHUSIANA NA KAULI YA WAZIR MKUU



Baada ya mh.waziri mkuu mizengo pinda kutoa ruhurusa kwa polisi kupiga wananchi..Mh mbunge zitto kabwe nae atoa lake

juu ya mh.waziri mkuu…Kupiitia tweet yake Zitto alisema “Viongozi wa kisiasa lazima wajue kuwa Kakiba ya maneno yao .kuropoka hovyo hovyo wakati kama huu wenye taharuki ni hatarii sana”..Aliongezea “Ni lazima viongozi wawajibishwe kwa maneno wanayotamka.Mh. Pinda anahamasisha ukiukwaji wa katiba na sheria Asipowajibishwa.!”