Thursday, June 20, 2013

SUPER STAAR DIAMOND NA M TO THE P





Siku ya jana katika mishe mishe zangu nilikutana
 na ndugu yetu na mwanmuziki mwenzetu,M 2 the P ambae
 alikuwa ni mtu wa kalibu na
 marehemu Ngwair...kukutana kwetu  tulipata fursa ya
 kuzungumza mengi nna Mungu akipenda..maybe we gonn do
something  alisema hayo diamond