BREAKIN NEWS : BAAADA YA MBUNGE MOSES MACHALI KUPIGWA
JESHI LA POLISI MKOANI DODOMA LINAWASHIKILIA WATU WAWILI KWA TUHUMA ZA KUMPIGA MBUNGE MOSES MACHALI
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba jeshi la polisi mkoani
dodoma linawashikiria watu wawili kwa tuhuma za kumpiga mbunge Moses
Machalli.Machalli amelazwa katika hospitali ya mkoa dodoma General na
anaendelea vizuri.