Friday, February 7, 2014

RAISI JAKAYA KIKWETE AUNGWA MKONO NA WAPINZANI HUSUSAN CHADEMA M4C PAMOJA DAIMAI

 Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, FREEMAN AIKAELI MBOWE ameviomba vyama vyote vya siasa kuunga mkono Hotuba ya Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete ya kuvitaka vyama hivyo kutanguliza maslahi ya Taifa badala ya maslahi ya vyama vyao wakati wa Bunge la Katiba ambalo wajumbe wake watatangazwa na mh.Rais leo tarehe 07/02/2014 na kuanza rasmi vikao vyake tarehe 18/02/2014 mjini Dodoma.