Friday, November 29, 2013

KOMBE LA DUNIA 2014 LIPO ARDHI YA TANZANIA NA LITASHUHUDIWA NA WATU MBALIMBALI PALE UWANJA WA TAIFA



images
Kombe la Dunia linatarajiwa kufika leo Dar es salaam kisha watu mbalimbali wataruhusiwa kwenda kulishuhudia,Shughuli ya kulishuhudia  live  kombe la dunia itaanzia uwanja wa Taifa Dar es salaam jioni ya leo kisha kombe litaelekea Mwanza.
IMG_1297
Upande wa Mwanza kombe litapokelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete kwenye uwanja wa Ccm Kirumba,wakazi wa Mwanza pia watapata nafasi ya kulishuhudia kombe hilo.
kombe la Dunia linataraijiwa kuanza mwaka 2014.