
Majibu ya maswali ya Watanzania yanaanza kupata majibu sasa ambapo usiku wa November 28 2013, Ambene (Ay) alipost hii picha hapa chini akiwa na Carol Ndosi, Arthur, Fid Q na Hermy B na kuandika hiyo msg kama unavyoiona hapo chini.
Hii ni ishara kwamba bado kuna muunganiko kati ya watu hawa japo ni muda sasa hivi hatujasikia single yoyote ya Ay imefanywa na B Hits.
B hits ndio ilihusika kutengeneza hits kadhaa za Ay na Fa kama ‘habari ndio hiyo’ ‘Nangoja ageuke’ na ‘Bado nipo nipo’
