Thursday, October 17, 2013

JARIDA JIPYA LADONDOKA KITAANI,STORI KUBWA NI DIAMOND,THABEET NA JOKATE

Jokate 1
Hili ni Jarida jipya hapa Tanzania ambalo naambiwa Watanzania wataanza kulipata mitaani kuanzia kesho Ijumaa ila leo badae Amplifaya ya Clouds FM itafanya mpango wa kusikia kutoka kwa Jokate mwenyewe…. kaa karibu na mtu wako wa nguvu millardayo kwenye facebook, twitter na instagram kwa info zaidi.
Jokate 2