WAZIRI MSTAAF EDWARD LOWASA ANUSURIKA TUKIO LA ARUSHA IVI SASA
Mabomu
yalianza muda mfupi baada ya polisi mmoja kujichanganya na raia ambao
walimtaka atoke, pia viongozi wengine wa Chadema wameonekana wakiruka
kutoka jukwaani kuokoa maisha yao.
Mbali na watu kutawanywa kwa
mabomu hayo,Waziri Mkuu aliyejiuzuru Edward Lawassa amenusurika kufa
huku gari lake likiharibiwa vibaya.