Tuesday, June 18, 2013

BREAKIN NEWS ARUSHA BALAAAAA

Breaking News:Polisi hivi sasa wanapiga mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa CHADEMA waliofurika katika uwanja wa Soweto Mjini Arusha ulipotokea mlipuko wa bomu Jumamosi kuomboleza ambapo polisi inasema mkusanyiko huo si halali
Gari la Lissu ladaiwa kuteketezwa vibaya kwa bomu
- Pikipi zadaiwa kuharibiwa vibaya
- Hali ya taharuki yatawala
  HABARI KAMILI  ENDELEA KUWA NASI