Friday, June 21, 2013

BREAKING NEWS KAULI YA WAZIRI MKUU

BREAKING NEWS!!!!!!!
Waziri mkuu Pinda kuburutwa Mahakamani kwa Kauli yake ya kuhamasisha Polisi Kupiga Raia.
Wanasheria wasema kwa kauli ambayo imetolewa na Kiongozi mkubwa kama yeye ambaye aliapa kuitetea Katiba na kuilinda...kwa kitendo chake cha kuhamasisha Uvunjivu wa Katiba anatakiwa ashitakiwe mbele ya Sheria...!!

Stay tuned