Baada
ya uchaguzi uliofanyika kwenye ukumbi wa NSSF Water front kumpata Rais
mpya wa TFF kati ya Athumani Nyamlani na Jamal Malinzi, hatimaye TFF
imepata Rais mpya ambaye ni Jamal Malinzi.Mashuhuda waliokuwepo hapo ukumbini wanasema kwamba mpinzani wa Jamal Malinzi alitoka kabla ya utaratibu mzima wa uchaguzi kuisha. Baada ya matokeo kutangwaza Jamal Malinzi alimzidi kura Athumani Nyamlani na hatimaye kupata nafasi ya kumrithi Leodigar Tenda.
Kama ulikuwa hujui ni kwamba Rais huyu wa TFF Jamal Malinzi ndiyo baba wa Diva Loveness wa Ala za Roho ya Clouds FM

Athumani Nyamlani akisindikizwa na wapambe wake kuondoka ukumbini