Saturday, September 14, 2013

MZEE WA TUPOGO (OMMY DIMPOZI) AKISHEREKEA MIAKA KADHAA YA KUZALIWA KWAKE NA MASTAA KIBAO NDANI YA ELEMENT

Party kubwa amefanyiwa star wa Bongo Fleva Ommy Dimpoz, ilipambwa na marafiki na stars tofauti kutoka Tanzania. J Martin, Ay ,Mwana Fa, Fid q ,Carol Ndosi, Dj Summer, Dj Bike, Salma Mzirai, Man Walter, Tahjir, Salama J, C pwaa, Wakazi, na wengine wengi.

Bonyeza Read More Kuona Picha Zaidi




 Zawadi ya Ommy Dimpoz kutoka kwa J Martins ilikuwa cheni yenye Thamani ya Dola Za Kimarekani Elfu Kumi, $10000 Dollars.