Wednesday, September 25, 2013

FAMILIA YA BONGO FLAVA YAONGEZEKA BADA YA BABU TALE KUPATA MTOTO WA KIUME

talejuniorBaada ya Black Rhyno kutangaza kupata mtoto wa kike jana, huyu tena ni mwanafamilia mwingine wa muziki wa Tanzania aliyetangaza kupata mtoto wa kiume. Mwanafamilia huyu sio mwingine bali ni Babu Tale ambaye ni meneja wa kundi la Tiptop Connection. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika “My new kaka. Asante mungu”. Pongezi nyingi kwake na familia yake.
taless