Thursday, July 4, 2013

JESHI LAMNG'OA LIVE RAISI


Jeshi la Misri limemng'oa mamlakani rais Mohammed Morsi na kumuapisha rais wa mpito Adly Mansur ambye ni jaji mkuu wa mahakama ya juu zaidi ya kikatiba.

Hatua ya jeshi inatokana na Morsi kukoselewa kwa kukosa kuchukua hatua za kusuluhisha mgogoro wa kisiasa wa muda mrefu uliokumba taifa hilo.