Sunday, June 23, 2013

OMMY DIMPOZI MAJANGA YA ZIDI KUMUANDAMA JANA AKIMBIA SHOW

Kuna tetesi kuwa Ommy dimpoz arushiwa chupa na mawe jukwaani Dodoma na kushindwa kufanya show ya kilimanjaro muzic award Dodoma. 
Wadau wa dom wasema kamwe msanii yoyote atakaye mdisi msanii wa Dodoma Hawatamkubali kufanya show Dom na watamshusha jukwaani kama walivyo fanya leo
Hii inafuatia Ommy dimpoz hivi karibuni alimdis marehemu Ngwea kuwa alikufa masikini jambo lililowakera mashabiki wake licha ya dimpoz kuomba msamaha lakini wapi!