MLINDA
mlango nambari moja Tanzania, Juma Kaseja Juma amehitimisha miaka yake
tisa ya kuitumikia klabu ya Simba SC baada ya klabu hiyo kuamua
kutomuongezea Mkataba, baada ya Mkataba wake kumalizika mwishoni mwa
msimu huu.
Habari ambazo share imezipata kutoka ndani ya Simba SC, zimesema kwamba Kaseja anaachwa baada ya kuitumikia kwa mafanikio makubwa klabu hiyo tangu mwaka 2003 aliposajiliwa kutoka Moro United, eti kwa sababu hakubaliki kwa sasa na wapenzi wa timu hiyo.
Hata hivyo, jambo la kusikitisha tu ni kwamba hakuna sababu za msingi za kuachwa kwa mlinda mlango huyo, zaidi tu ya kuonekana wamemchoka baada ya kuwa naye kwa muda mrefu.
Habari ambazo share imezipata kutoka ndani ya Simba SC, zimesema kwamba Kaseja anaachwa baada ya kuitumikia kwa mafanikio makubwa klabu hiyo tangu mwaka 2003 aliposajiliwa kutoka Moro United, eti kwa sababu hakubaliki kwa sasa na wapenzi wa timu hiyo.
Hata hivyo, jambo la kusikitisha tu ni kwamba hakuna sababu za msingi za kuachwa kwa mlinda mlango huyo, zaidi tu ya kuonekana wamemchoka baada ya kuwa naye kwa muda mrefu.